
klabu ya liverpool inajiandaa kumchukua mchezaji wa klabu ya Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang kwa ajili ya kuziba pengo la mchezaji Daniel Sturridge ambaye anatazamiwa kuondoka, na mazungumzo hayo yanalengwa sana mwezi januari kwenye dirisha dogo japo kuwa bado haijafahamika mchezaji nyota huyo wa liverpool atakwenda kwenye kalbu gani
No comments:
Post a Comment