Friday, 19 January 2018

wakili asema kufanya ukahaba sio kosa kisheria

Image result for prostitution in tanzaniaBiashara ya Ukahaba ni miongoni mwa biashara zinazopigwa vita duniani, ambapo leo January 18, 2018 wakili wa kujitegemea Juma Nassoro amesema kisheria ni kosa kufanya Ukahaba kwa ajili ya kujipatia kipato.

 Akizungumza na AyoTV, Wakili Nassoro amesema kuwa kisheria kufanya Ukahaba si kosa, isipokuwa kufanya Ukahaba kwa lengo la kibiashara ni kosa.

“Kidini ukahaba ni makosa lakini kwa sheria za nchi yetu mtu kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti sio kosa, isipokuwa litakuwa kosa la kijinai ni kufanya kazi hiyo kwa kujiingizia kipato na endapo akitiwa hatiani adhabu yake ni kifungo ama faini,”.– Wakili Juma Nassoro

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...