Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri,, huku mechi hiyo ikiisha kwa Ureno kuondoka na ushindi wa 2-1

Mohamed Salah alianza kwa kufunga goli la kwanza kwa mchezo huo ndani ya dakika 56, na kuifanya Misri iongoze kwa muda wote wa mchezo.

Katika sekunde 120 za mwisho wa mchezo Ronaldo alifunga magoli mawili ya kichwa na kuipa timu yake ushindi.
Mechi nyingne kali ni pamoja na mabingwa wa dunia Ujerumani walipolazimishwa sare na Hispania na kuifanya mechi hiyo iishe kwa sare ya 1-1
Rodrigo na Muller ndo wafungaji wa magoli katika mechi hiyo.
Jesse Lingard amefunga goli lake la kwanza kwa timu yake ya taifa na ni goli la pekee katika mechi hiyo huku Uingereza wakiondoka na ushindi dhidi ya Uholanzi.

Matokeo ya mechi nyingine ni
Argentina 2 - 0 Italia
Ufaransa 2 - 3 Colombia
Urusi 0 - 3 Brazili
Japani 1 - 1 Mali
Mohamed salehe anaweza kefan ya vitus ambavyo Owen ,suarez na Torres banda ya kuone kuwa vizuri zaidi katika kikosi chake cha Liverpool.
Salah akiwa na klopp kocha wake baada ya kufunga goli la ushindi.
Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy ambae anafanya vizuri kwa sasa na wimbo wake wa 'kivuruge' amefunguka na kudai hakuna mtu yeyote atakaeweza kumuunganishia kwa wanaume wenye pesa (pedeshee) bali kama watamuitaji wataenda wenyewe kwake.
Philipe Coutinho amerejea Liverpool na kuwaaga rasmi rafiki na wafanyakazi wa klabu hiyo.