Sunday, 15 November 2015

france attack: mauwaji ya kigaidi ya ufaransa

ugaidi ufaransa. ndugu watatu wahusishwa kwenye ugaidi na kukimbia

kaka watatu wahusishwa kwenye ugaidi.
nchi zinazounda kundi la G20 zakutana kuimarisha ulinzi mipakani
briton ameripotiwa kufa kwenye mauwaji haya
watu 129 wafariki na wengine 352 kujeruhiwa
People react as they view tributes and flowers outside La Belle Equipe restaurant on Rue de Charonne in Paris, France
watu wakidondosha machozi katika eneo lilipofanyikia mauwaji hayoo nje ya mgahawa  La Belle Equipe
Ibrahim na Salah Abdeslam hawa ni watu wenye utaifa na wazawa wa ufaransa waliyotekeleza mauwaji haya
A girl holds flowers in memory of the victims of the Paris attacks, outside La Belle Equipe restaurant on Rue de Charonne as France observes three days of national mourning
watu wengine wameripotiwa kuwa walikuwepo kwenye shambulio hili wakiwa na asili ya ubelgiji
kila taifa linaripoti kutokana na idadi ya watu au wananchi iliyokuwa nayoooo
A composite combo photo shows the six restaurant and bar locations were gunmen opened fire on customers in the 13 November attacks, in Paris, France
obama aapa kupambana mara dufu na wauwaji waliyoshiriki kwenye mauwaji ya ufaransa akisema atapambana zaidi na IS
Polina Volkova, a friend of Eagles Of Death Metal Nick Alexander who died in attacks in Paris, cries as she sits near a makeshift vigil outside the consulate of France in the Manhattan borough of New York
watu wamepoteza wapenzi wao sana 

 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...