Hii inakuwa ziara ya tatu kwa viongozi wa juu wa Tanzania kufanya Ziara za kushtukiza katika ofisi na wizara mbalimbali za Serikali.
Tulishuhudia siku ya pili baada ya Rais Dr. Magufuli kuapishwa, asubuhi yake alifanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha na kujionea hali halisi, haikuishia hapo tena hospitali ya taifa Muhimbili na kukuta changamoto ya vitanda vya wagonjwa na dawa.
Leo Nov 27 headline ikiwa ni siku saba tangu kuapishwa kwa Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa, amefanya ziara ya kushitukiza katika bandari ya Dar es salaam.
Kaa karibu na mimi ili nikusogezee mwendelezo wote wa kitakachojiri…
No comments:
Post a Comment