Friday, 2 December 2016

chelsea ajiandaa dhidi ya man city

Chelsea manager Antonio Conte issues instructions as the team train at Stamford Bridge
antonio konte akiwasimamia wachezaji wake wa kikosi cha kwanza kwenye uwanja wa stamford bridge kabla hajaenda etihad kwa mazoezi
konte anamsifia kocha wa man city ambaye alikuwa kocha wa barcelona na bayern muchen kwa kuweza kuendana na ligi mapema
licha ya man city kuonekana wazuri wakati wa mwanzo ila baadae alipoteza mwelekeo hadi juzi kuonyesha uhai.

konte asema kila timu ina namna yake ya kucheza, man city wao ni mpira mwingi ila mimi ni moja kwa moja hadi golini.
Chelsea defender David Luiz looks to the skies in celebration after scoring in training 
beki wa chelsea david luis akiangalia kwenye anga baada ya kufunga kwenye mazoezi
konte yeye anaongoza ligi akiwa kileleni akiwa juu ya manchester city ambaye yeye ni wa tatu.
chelsea inataka kuendeleza wimbi lake la ushindi la kutokufungwa mechi 8 mfululizo.

Je? guardiola atamuachia ashinde mechi hii.
Chelsea sit top of the Premier League entering the clash with third place Manchester City
ushindi wa chelsea huo hapo

October 1 Hull City (A) 2-0
October 15 Leicester City (H) 3-0
October 23 Manchester United (H) 4-0
October 30 Southampton (A) 2-0
November 5 Everton (H) 5-0
November 20 Middlesbrough (A) 1-0
November 26 Tottenham (H) 2-1

Mikel John Obi and Marcos Alonso fight for the ball as Chelsea prepare for the City game

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...