Sunday, 12 March 2017

tottenham hotspurs 6- 0 Millwall

Son's goal gave the hosts a two goal lead at the break, a tough scoreline on Millwall but achieved through great strikes
shuti la mchezaji son ambalo alifunga goli lililowapa hamasa wachezaji wa totenham

eriksen 32', son 41',54',90+2', dele 72' janssen 80'


Millwall's players were left dejected by a first half where they had been competitive but ultimately outclassed by Spurs
pamoja na kuonyesha upinzani lakini wachezaji wa klabu ya millwalls walikata tamaa baada ya kufungwa magoli mengi
Son scored his second and Spurs' third by guiding Kieran Trippier's pinpoint ball past King after 54 minutes
son akifunga goli lake la pili lakini likiwa ni goli la tatu kwa klabu yake
King had made several good saves early on in the game but was at fault for the sixth as he let the ball squirm beneath him
son akifunga goli lake la tatu na kuibuka na hatrick
Tottenham Hotspur forward Harry Kane was forced off injured after seven minutes with what looked like an ankle injury
harry kane alilazimika kutoka nje kutokana na kuumia na inasadikika ameumia kifundo cha mguu
Dele Alli netted a deserved goal for Spurs' fourth with a tap-in after 72 minutes following a clever angled pass by Eriksen
mchezaji mwuingereza naye akipachika goli baada ya kupata pasi kutoka kwa ericksen na kuyaondoa matumaini ya wapinzania wao
Janssen is congratulated by Son after the Dutchman - who has struggled in England - slotted in No 5 for Tottenham
Janssen akipongezwa na son baada ya kushinda goli lake la kwanza toka kuamia klabuni hapo

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...