Sunday, 12 March 2017

wachezaji wa real madrid waelewana

Cristiano Ronaldo rubs team-mate Gareth Bale's back ahead of Sunday's game vs Real Betis
Cristiano Ronaldo na Bale wakiwa mazoezini kabla ya mechi yao dhidi ya Betis. machezaji hawa hawajawahi kuonekana kuwa na  ushirikiano mzuri katika klabu hiyo hivyo hali hii inaashiria mazuri mbeleni
Luka Modric (Ieft) and Karim Benzema (right) share a joke as they train in the Madrid sunshine
watu wengine ambao nao walionekana kutokuwa sawa ni modric na benzema lakini hapo wameondoa tofauti zao ili kufanya mpira na ushindi zaidi kwa timu yao
Real Madrid manager Zinedine Zidane's side beat Eibar 4-1 away last time out in La Liga 
zinedine  alionekana kuwa na furaha na shauku yake ni kuendeleza kipigo kwa betis ambapo mzuko wa kwanza real madrid walishinda goli nne kwa 1

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...