| Jose mourinho na Antonio Conte katika ubora wao ndani ya uwanja wa Old Trafford |
| Viungo mahili wa timu mbili wakipigania mpira |
| Ander Herrea akifunga bao la kushindilia ushindi wa Man U |
| Mlinda mlango mahili wa Man U, David De Gea akishangilia na kufurahia ushindi wa timu |
| Wachezaji wa Manchester United wakishangilia goli la ufunguzi kutoka kwa Marcus Rashford |
| Chelsea yapata majonzi katika sikukuu ya pasaka ni baada ya kufungwa na Manchester United 2-0, magoli ya Man U yamefungwa na Marcus Rashford na Ander Herrera |
No comments:
Post a Comment