NBA.com’s Shaun Powell ameainisha kila timu na gharama walizotumia pamoja na wachezaji waliotoka na walioingia kwenye klabu.
Timu za leo: Orlando Magic
rekodi ya mwaka 2016/17 : 29-53
walio wapya: Jonathan Isaac (Draft), Jonathon Simmons (free agency), Arron Afflalo (free agency), Shelvin Mack (free agency), Marreese Speights (free agency)
waliondoka: Jeff Green (signed with Cavs), Jodie Meeks (signed with Wizards), CJ Watson (waived)
The lowdown: hii timu haijapoteza kikubwa na imeshabadilisha makocha wanne lakini bado haikufanikiwa kucheza michuano mikubwa hadi sasa.
No comments:
Post a Comment