Saturday, 7 October 2017

Harry Kane kaipeleka England kombe la dunia 2018

Goli moja tu la Harry Kane limetosha kuwapa nafasi England(three lions) kushiriki mashindano makubwa ya kombe la dunia yatakayofanyika hapo mwakani Russia

Harry akishangilia goli pekee alilofungia timu yake

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...