Sunday, 3 December 2017

Bercelona wakabana koo na Celta Virgo uwanja wa nyumabni

Barcelona 2-2 Celta Vigo: Lionel Messi na Luis Suarez walijaribu kufunga lakini wapinzani walikuwa wagumu Zaidi na kufanya mchezo huo kuwa sare pale Nou Camp
Iago Aspas alifunga goli la mapema kwa timu yake
Lakini dakika chache baadaye  Lionel Messi alisawazisha kwa miamba hawa wakiwa nyumbani
 Suarez alifunga goli lililoifanya Barcelona kuongoza baada ya mapumziko.

Celta Vigo walikuwa bado hawajamaliza kutoka kwa mchezaji wao - Maxi Gomez alipiga mkwaju mzuri tu baada ya pasi kutoka kwa Aspas
Iago Aspas celebrates breaking the deadlock at the Nou Camp as he fired Celta Vigo ahead
Aspas akishangilia goli lake la ufunguzi katika uwanja wa Neu Camp
But Lionel Messi equalised for the hosts shortly after they went behind on SaturdayMessi akishangilia baaada ya kusawazisha 
Luis Suarez then put his bad form aside to send Barcelona into the lead after half-timesuarez aliwaweka celta virgo wakati mgumu akiwa amefunga goli la pili
Maxi Gomez levelled for the visitors after a low cross from the excellent AspasMaxi Gomez Akiifungia klabu yake goli lililofanya sare 
Ter Stegen brilliantly denied Maxi Gomez but could not repeat the trick on the reboundGomez fires past the stranded ter Stegen during the second-half at the Nou Camp

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...