Sunday, 3 December 2017

manchester city yaendeleza ubabe wake kwa westham united

Manchester City 2-1 West Ham: David Silva awafanya man city kuwa katika rekodi ya kucheza mechi 13-bila ya kufungwa wakiwa na Pep Guardiola baada ya kufanikiwa kufungu dakika za lala salama
Manchester City walipata ushindi unaowafanya waendelee kuongoza katika ligi mbele ya mahasimu wao kwa alama katika uwanja wa nyumbani Etihad Stadium
Angelo Ogbonna aliifungia klabu yake goli la kuongoza katika dakika za kipindi cha kwanza kabla ya Guardiola kupata nafasi na kurudi mpaka kupata ushindi
Nicolas Otamendi aliwafungia man city goli la kusawazisha dakika za mwanzoni katika kipindi cha pili

Silva aliwapa ushindi klabu yake kwa kupokea mpira kutoka kwa de bruyne kwenye dakika ya 83 
The City skipper latched on to Kevin de Bruyne's cross to guide the ball past Adrian with less than 10 minutes remaining
david Silva akifunga goli la ushindi kwa timu yake 
Silva moved quickly to enter the Hammers penalty area unmarked and unseen as he stabbed home the winnerSilva alikuwa mwepesi kwa kuwakimbia mabeki wa klabu ya westham na kuupiga ule mpira kwa kuubadilisha mwelekeo tu na akashinda
Pep Guardiola celebrates as he again watches his City side snatch the three points late on as they regain their eight point lead
Guardiola Akishangilia goli 
Meanwhile David Moyes leaves the Etihad Stadium empty handed and still awaiting his first win as West Ham manager
Moyes atoka mikono mitupu awa na mwanzo mbaya kwenye kazi yake ya kuinoa klabu hiyo
Ogbonna celebrates his goal after it is met by jeers across the Manchester ground and high-fives Declan Riceogbonna akishangilia goli alilofungia klabu yake

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...