Thursday, 25 January 2018

nimejaribu kuacha mziki nimeshindwa


                              
Rapper huyo ameiambia Funiko Base ya Radio Five kuwa hana mpango wa kuacha muziki kwa sasa ila ni kitu ambacho amewahi kujaribu.

“Nina albamu mbili halafu hata moja haikwenda sokoni lakini bado narekodi, sichoki kurekodi am keeping recording ndio maana nawahaidi watu Load Eyes hawezi kuacha muziki,” amesema.
“Hata mimi nimejaribu kuacha muziki nimeshindwa kwa sababu muziki ni maisha yangu hata nikitaka kuacha nashindwa kwa sababu watu wananisumbua kuhusu muziki,” amesisitiza.
Loard Eyes kwa sasa anatamba na ngoma ‘Hardcore’ ambayo wamefanya kundi la Nako 2 Nako.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...