
Martial mshambuliaji wa klabu ya klabu ya manchester united apata tuzo ya mcheza bora wa mwezi wa tisa katika ligi kuu ya uingereza
ni mapema kwa mchezaji kuhamia timu mpya na kwa muda mfupi sana kupata tuzo kama hizi za ubora zaidi hapo uingerera pamoja na umri wake mdogo
antony marshal alijiunga na klabu ya manchester kwa ada ya uhamisho wa paund milion 36 lakina kwa sasa thamani yake imepanda na kufikia paund milioni 58 ni mafanikio mazuri sana kwa mchezaji kama yeye kuyapata.

marshal atoa shukrani zake za dhati kwa wachezaji na mashabiki wake wakaribu sana kwa ushindi wa tuzo aliyoupata
hii ni baada ya kufunga goli tatu kwenye ligi hiyo

kijana nhuyu kawaqshinda wenzake wa United Daley Blind, Watford striker Odion Ighalo, Tottenham keeper Hugo Lloris, West Ham schemer Dimitri Payet and Leicester City attacker Jamie Vardy kwenye tuzo.
No comments:
Post a Comment