Tatizo la maji bado sugu Tanzania
Dakika 12 zilizopita
Idhaa ya kiswahili ya BBC inaanza mfululizo wa makala ambazo zinamulika maisha ya kila siku na changamoto zinazomkabili Mtanzania hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Ahadi nyingi hutolewa wakati wa kampeni kuwapa moyo wapiga kura na matumaini kuwa maisha yao yataimarika pindi mtu, watu au chama fulani kinapochukua hatamu za uongozi.
Lakini kutokana na uzoefu wa wengi ahadi nyingi hazitimizwi, mfano ni tatizo la maji ambalo limeibuka kuwa sugu nchini Tanzania.
Wakazi wa jiji la Dar es salaam wanajua fika usumbufu unaosababishwa na ukosefu wa maji.
Tulanana Bohela amezungumza na wakazi hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
-
KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa na wasiwasi...
-
Wakati umemualika mwanamke sehemu unayoishi ama wakati umetoka deti katika bar, unapaswa kujua ya kuwa kumsisimua mwanamke huanza kabla ya...
-
Abdallah Kigoda Abdallah Omar Kigoda (amezaliwa 25 Novemba 1953 – 12 October 2015) alikuwa Mbunge katika Bunge la Tanzania...
No comments:
Post a Comment