Salmin Hoza alianza kumtungua mchezaji bora wa Ligi Kuu Januari kwa shuti la mbali dakika ya 42 kabla ya Dickson Ambundo kufunga la pili dakika ya 84.
Mshambuliaji wa zamani wa Mtibwa Sugar, Azam FC na Simba, Ame Ali ‘Zungu’ akaifungia Kagera bao la kufutia machozi dakika ya 92.
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na wenyeji Madini FC Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Mechi nyingine za Robo Fainali kati ya Azam FC na Ndanda FC Uwanja wa Azam Complex, Chamazi na Yanga dhidi ya Prisons ya Mbeya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam zitapangiwa tarehe.
Bingwa wa michuano hiyo kwa mujibu wa kanuni, atazawadiwa Sh. Milioni 50 na ndiye atakayeiwakilisha nchi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, wakati bingwa wa Ligi Kuu atacheza Ligi ya Mabingwa Afrika
source:zubery
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...

-
Wakati umemualika mwanamke sehemu unayoishi ama wakati umetoka deti katika bar, unapaswa kujua ya kuwa kumsisimua mwanamke huanza kabla ya...
-
Niliwahi kujiuliza kama iko siku na mimi nitapata nafasi ya kusimulia popote pale mkasa uliowahi kunikumba miaka ya nyuma. Ni kuhusu mke wa...
-
MAISHA ni vita bwana. Ili uweze kushinda, lazima upambane kweli. Wapo wanaoamini kuwa ‘kutusua’ kimaisha lazima uwe umesoma lakini huen...
No comments:
Post a Comment