Sunday, 19 March 2017

real madrid yawachapa Atletico bilbao goli 2-1 na kuongeza pointi dhidi ya wapinzani wao


Ronaldo akimpongeza casemiro baada ya kuifungia timu yao goli la ushindi 

Karim benzema aliifungia real madrid goli la kuongoza baada ya kupata pasi kutoka kwa Ronaldo 
Artiz Adruriz alifanya jitihada baada ya kuwashinda mabeki wa real 
Inak william alipiga shuti la kushinda lakini goli kipa wa real madrid Navas alilichomoa 
baada ya ushindi huu real madrid inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi tano kutoka kwa wapinzani wao Barcelona
Veteran striker Aduriz celebrates after his equaliser for Athletic Bilbao - nodded in from close range past Keylor Navas 
Aduriz akishangilia baada ya kuifungia timu yake goli la kusawazisha 
Gareth Bale (left) and Dani Carjaval (centre) celebrate with Karim Benzema (right) after his 25th-minute goal
Gareth bale na Daniel Carvajal wakimpongeza Karim Benzema baada ya kufunga goli dakika ya 25 ya mchezo
Marcelo posted a photo of the team celebrating the narrow victory in the away dressing room after the match
marcelo aliposti hii picha baada ya kupiga picha kwenye chumba cha kubadilia nguo baada ya ushindi wao
Real Madrid manager Zinedine Zidane greets his opposite number at Athletic Bilbao Ernesto Valverde before the match
kocha zinedine zidane akimsalimu kocha wa Atletico bilbao Ernesto Valverde mwanzo tu kabla ya mchezo
Keylor Navas is forced into action during an opening period where the home side threatened and twice came close to scoring
kipa keylor Navas wa real madrid akichomoa shuti lililopigwa na wapinzani wake
 Cristiano Ronaldo congratulates team-mate Karim Benzema on scoring the opening goal of the match at Athletic Bilbao 
cristian ronaldo akimpongeza mchezaji mwenzake Benzema  baada ya kuifungia timu yao goli la kuongoza
Cristiano Ronaldo was withdrawn by manager Zinedine Zidane with eleven minutes remaining for Spanish midfielder Isco
ronaldo anatolewa zikiwa zimebaki dakika 11 na kuingia muispania Isco



No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...