- Korea Kaskazini imeandaa gwaride kubwa na la kusisimua katika mji mkuu Pyongyang kuadhimisha miaka 105 tangu kuzaliwa kwa kiongozi mwanzilishi wa taifa hilo, Kim Il-sung.
- Maadhimisho hayo yanajulikana kama 'Day of the Sun' ama siku ya jua, kwani Kim Il-sung mara nyingi huwa anatambulishwa kwa ishara jua.
- Maadhimisho hayo yalionekana kama maonyesho ya nguvu za kijeshi wakati kumekuwa na uhusiano baridi baina ya Marekani na Korea Kaskazini.
- Mwandishi wa BBC aliyehudhuria maadhimisho hayo anasema kwamba alihisi ardhi ikitetemeka wakati wanajeshi walipokuwa wakipita pamoja na makombora.
- Wanajeshi wanawake wakitembea bila kukunja magoti katika onyesho la kusisimua.
- Bendera ya Korea Kaskazini ilipeperushwa kwa nguvu.
- Kundi la wanaume wakiwa wamebeba mapambo yanayowekwa kwenye nguo ama kofia (pom-poms)
- Ndege angani zimeunda umbo la takwimu 105.
Kiongozi wa Korea Kusini Kim Jong-un, mjukuu wa rais mwanzilishi wa taifa hilo, awapungia mkono watu waliohudhuria maadhimisho hayo.
Saturday, 22 April 2017
angalia gwaride la korea ya kaskazini kwa ajili ya baba wa taifa lao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
-
MAISHA ni vita bwana. Ili uweze kushinda, lazima upambane kweli. Wapo wanaoamini kuwa ‘kutusua’ kimaisha lazima uwe umesoma lakini huen...
-
KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa na wasiwasi...
-
Mao alikuwa kiongozi Kichina Kikomunisti na mwanzilishi wa Jamhuri ya Watu wa China. Yeye alikuwa kuwajibika kwa sera za maafa ya ...









No comments:
Post a Comment