
''Vijana wasitumie mitandao ya kijamii kujua kuwa Jokate amevaaje leo, au kaweka nywele gani , inatakiwa watafute taarifa mbalimbali ambazo kila wakati hutolewa katika 'Internet' ili ziweze kuwapa ufahamu na pengine kuwasaidia,'' amesema.
Pia Jokate ameendelea kuzungumza kwa kusema, ''Ni vizuri kijana kuwa na kazi yake akijiamulia mwenyewe kwamba leo afanye kazi gani na afanye nini anakuwa huru sana,'' ameongeza
Aidha ameongeza kwa kusema kuwa njia sahihi ya elimu kwa vijana juu ya kujitegemea ianzie vyuoni ili wakati wanapomaliza wanakuwa tayari wameweza kujua njia sahihi ya kuji kwamua.
No comments:
Post a Comment